Wednesday, July 15, 2015

Bodi ya Mikopo ya wanafunzi

Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa Elimu ya Juu imesogeza mbele tarehe ya Mwisho ya kupokea maombi ya mikopo kwa Wanafunzi.
-Tarehe ya Mwisho ya kupokea maombi itakuwa 31 Julai, 2015

No comments:

Post a Comment