Wednesday, July 15, 2015

EU kuipa Ugiriki mkopo wa dola bilioni 7

Tume ya bara Ulaya imependekeza mkopo wa muda mfupi wa dola bilioni saba nukta saba kwa Ugiriki, huku majadiliano kuhusu madeni ya nchi hiyo yakiendelea.
Utatolewa kupitia mfumo wa hazina maalum ya udhabiti wa kifedha unaohusisha mataifa yote 28 wanachama wa bara Ulaya.
Baadhi ya mataifa wanachama wa EU ambayo hayatumii sarafu ya Euro, kama vile Uingereza yanapinga wazo hilo.

No comments:

Post a Comment