Tuesday, July 14, 2015

Bunge la Rwanda limepiga kura kuruhusu mabadiliko ya Ibara 101

Bunge la Rwanda limepiga kura kuruhusu mabadiliko ya Ibara 101 ya Katiba, kuruhusu muhula wa tatu kwa Rais Paul Kagame mwaka 2017. 

-Awali Wanyarwanda milioni 3.7 walitia sahihi ombi la kumtaka Rais Paul Kagame kugombea muhula wa tatu

No comments:

Post a Comment