Bunge la Rwanda limepiga kura kuruhusu mabadiliko ya Ibara 101
Bunge la Rwanda limepiga kura kuruhusu mabadiliko ya Ibara 101 ya Katiba, kuruhusu muhula wa tatu kwa Rais Paul Kagame mwaka 2017.
-Awali Wanyarwanda milioni 3.7 walitia sahihi ombi la kumtaka Rais Paul Kagame kugombea muhula wa tatu
No comments:
Post a Comment