Tuesday, July 14, 2015

Chama tawala nchini Tanzania Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Chama tawala nchini Tanzania Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza daktari John Magufuli kuwa mgombea wake wa kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu wa ujao.

No comments:

Post a Comment