Tuesday, July 21, 2015

Nkurunziza anatarajiwa kushinda

Raia wa Burundi wanapiga kura Jumanne hii katika zoezi lililoghubikwa na milio ya risasi na miripuko ya magruneti, huku rais Pierre Nkurunziza akitazamiwa kushinda muhula wa tatu licha ya ukosoaji wa kimataifa.

No comments:

Post a Comment